Swali 34: Wakati myemeni anapofika Marekani basi wanaomjua wanampa pesa kwa mnasaba wa kufika kwake. Je, azirudishe nazo ni katika haramu?
Jibu: Tayari tumeshajibu jibu swali hili. Uchaji zaidi ni yeye kutozipokea. Akiwa ni mwenye kuzihitajia basi dhambi ni kwa wale wenye kuyafanya moja kwa moja. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akitaamiliana na mayahudi pamoja na kuwa anatambua kuwa wanakula ribaa.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tuhfat-ul-Mujiyb, uk. 72
- Imechapishwa: 28/12/2019
Swali 34: Wakati myemeni anapofika Marekani basi wanaomjua wanampa pesa kwa mnasaba wa kufika kwake. Je, azirudishe nazo ni katika haramu?
Jibu: Tayari tumeshajibu jibu swali hili. Uchaji zaidi ni yeye kutozipokea. Akiwa ni mwenye kuzihitajia basi dhambi ni kwa wale wenye kuyafanya moja kwa moja. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akitaamiliana na mayahudi pamoja na kuwa anatambua kuwa wanakula ribaa.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tuhfat-ul-Mujiyb, uk. 72
Imechapishwa: 28/12/2019
https://firqatunnajia.com/pesa-anazopewa-mkimbizi-anapofika-nji-za-makafiri/