Swali: Kukataliwa uombezi kwa washirikina kama ilivyopokelewa katika Hadiyth kunaingia pia yule ambaye alifanya shirki ndogo kwa mfano mwenye kuapa kwa asiyekuwa Allaah?
Jibu: Huyu ni muumini hatoki katika Uislamu. Ambaye yuko na shirki ndogo hatoki katika Uislamu. Kinachomaanishwa ni mshirikina mwenye kutoka katika Uislamu ndiye ambaye uombezi hautomfaa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (07) http://alfawzan.af.org.sa/node/2122
- Imechapishwa: 02/07/2020
Swali: Kukataliwa uombezi kwa washirikina kama ilivyopokelewa katika Hadiyth kunaingia pia yule ambaye alifanya shirki ndogo kwa mfano mwenye kuapa kwa asiyekuwa Allaah?
Jibu: Huyu ni muumini hatoki katika Uislamu. Ambaye yuko na shirki ndogo hatoki katika Uislamu. Kinachomaanishwa ni mshirikina mwenye kutoka katika Uislamu ndiye ambaye uombezi hautomfaa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (07) http://alfawzan.af.org.sa/node/2122
Imechapishwa: 02/07/2020
https://firqatunnajia.com/mwenye-kufa-katika-shirki-ndogo-atapata-uombezi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)