Swali: Kuna mwanamke amemghadhibikia mume wake akawa amemwambia “Wewe ni haramu kwangu”. Ni ipi hukumu katika hali hii?

Jibu: Hii ni yamini. Atoe kafara ya yamini.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (08) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-15.mp3
  • Imechapishwa: 10/11/2014