Swali: Kuna mwanamke anfanya kazi kama muuguzi kwenye hospitali. Inatokea wakati mwingine wakati wa swalah unatoka kwa sababu ya kazi. Je, inafaa kwake kukusanya kati ya swalah mbili?
Jibu: Hapana. Aswali hapo kazini. Ikiwa wako kundi la wanawake watengeneza sehemu ya kuswalia ambapo watakuwa wanaswalia. Wanatakiwa kuswali swalah kwa nyakati zake na wasifanye mchezo na swalah na kuzichelewesha kuziswalia nyumbani na mfano wa hayo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (58) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16539
- Imechapishwa: 23/09/2017
Swali: Kuna mwanamke anfanya kazi kama muuguzi kwenye hospitali. Inatokea wakati mwingine wakati wa swalah unatoka kwa sababu ya kazi. Je, inafaa kwake kukusanya kati ya swalah mbili?
Jibu: Hapana. Aswali hapo kazini. Ikiwa wako kundi la wanawake watengeneza sehemu ya kuswalia ambapo watakuwa wanaswalia. Wanatakiwa kuswali swalah kwa nyakati zake na wasifanye mchezo na swalah na kuzichelewesha kuziswalia nyumbani na mfano wa hayo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (58) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16539
Imechapishwa: 23/09/2017
https://firqatunnajia.com/muuguzi-anakusanya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)