Swali: Ni ipi hukumu ya kukata ndevu kwa pembezoni, urefu wake, kidevu na shingoni?
Jibu: Ukikata pembezoni mwake na urefu wake unaziondosha zote. Ni kwa nini unataka kuzifanya vibaya ndevu zako au kuufanya vibaya uso wako? Ndevu ni uzuri wa mwanaume. Zinatofautisha kati ya mwanaume na mwanamke. Allaah amekuneemesha kwazo. Allaah amekupamba nazo. Usizifupishe huku na kule. Usizifanye vibaya.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (58) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16539
- Imechapishwa: 23/09/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kukata ndevu kwa pembezoni, urefu wake, kidevu na shingoni?
Jibu: Ukikata pembezoni mwake na urefu wake unaziondosha zote. Ni kwa nini unataka kuzifanya vibaya ndevu zako au kuufanya vibaya uso wako? Ndevu ni uzuri wa mwanaume. Zinatofautisha kati ya mwanaume na mwanamke. Allaah amekuneemesha kwazo. Allaah amekupamba nazo. Usizifupishe huku na kule. Usizifanye vibaya.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (58) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16539
Imechapishwa: 23/09/2017
https://firqatunnajia.com/kufanya-uso-kuwa-mbaya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)