Swali: Kuna mtu ameoa mwanamke wa Kiislamu ambaye ana upungufu katika dini yake. Anasafiri bila ya Mahram. Mume alikuwa anajua hilo kabla ya ndoa. Je, amvumilie, kumfundisha na kumnasihi au atengane nae moja kwa moja?
Jibu: Mkataze. Una haki ya kumkataza kusafiri pasi na kuwa na Mahram au asafiri pamoja na wewe. Ni haki yako kumkataza kusafiri. Hana haki ya kusafiri bila ya idhini yako. Akiendelea kung´ang´ania mtaliki.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%204%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 13/03/2017
Swali: Kuna mtu ameoa mwanamke wa Kiislamu ambaye ana upungufu katika dini yake. Anasafiri bila ya Mahram. Mume alikuwa anajua hilo kabla ya ndoa. Je, amvumilie, kumfundisha na kumnasihi au atengane nae moja kwa moja?
Jibu: Mkataze. Una haki ya kumkataza kusafiri pasi na kuwa na Mahram au asafiri pamoja na wewe. Ni haki yako kumkataza kusafiri. Hana haki ya kusafiri bila ya idhini yako. Akiendelea kung´ang´ania mtaliki.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%204%20-%201%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 13/03/2017
https://firqatunnajia.com/mke-anasafiri-bila-ya-mahram/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)