Swali: Je, inajuzu kuzungumza na muadhini anaadhini adhaana ya Ijumaa na kadhalika baina ya Khutbah mbili?
Jibu: Hakuna neno. Lakini pamoja na hivyo amfuate muadhini, hili ndio bora. Lakini lau atazungumza hakuna neno. Kadhalika baina ya Khutbah mbili hakuna neno
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-5-29.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket