Swali: Kuna mwanamke amejitwahirisha kisha akalala ndani ya gari akiwa njiani kuelekea Makkah ambapo akatufu bila kutawadha. Akabaki akiwa mwenye kufanya Tamattu´ mpaka hajj na akamaliza hajj yake na ikamalizika Ihraam yake. Kipi kinachomlazimu?
Jibu: Hapana neno ikiwa kulala kulikomjia ni kwa njia ya kusinzia. Kusinzia hakuchengui wudhuu´. Lakini ikiwa ni usingizi mzito wa aina ambayo unachengua wudhuu´, basi hukumu yake ni kama ambaye hakutufu Ka´bah. Kwa hivyo atakuwa Qaarinah. Twawaaf-ul-Ifaadhwah na Sa´y ya Ifaadhwah inatosheleza na Twawaaf ya ´Umrah na Sa´y yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/142)
- Imechapishwa: 20/08/2021
Swali: Kuna mwanamke amejitwahirisha kisha akalala ndani ya gari akiwa njiani kuelekea Makkah ambapo akatufu bila kutawadha. Akabaki akiwa mwenye kufanya Tamattu´ mpaka hajj na akamaliza hajj yake na ikamalizika Ihraam yake. Kipi kinachomlazimu?
Jibu: Hapana neno ikiwa kulala kulikomjia ni kwa njia ya kusinzia. Kusinzia hakuchengui wudhuu´. Lakini ikiwa ni usingizi mzito wa aina ambayo unachengua wudhuu´, basi hukumu yake ni kama ambaye hakutufu Ka´bah. Kwa hivyo atakuwa Qaarinah. Twawaaf-ul-Ifaadhwah na Sa´y ya Ifaadhwah inatosheleza na Twawaaf ya ´Umrah na Sa´y yake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/142)
Imechapishwa: 20/08/2021
https://firqatunnajia.com/kusinzia-hakuchengui-wudhuu-tofauti-na-kulala/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)