Kuna du´aa maalum wakati wa kutoa Zakaat-ul-Fitwr?

Swali: Je, kuna maneno maalum yanayosemwa wakati wa kutoa Zakaat-ul-Fitwr?

Jibu: Hatujui du´aa maalum inayosemwa wakati wa kuitoa.

´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz

´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy

´Abdullaah bin Ghudayyaan

´Abdul-´Aziyz bin Qu´uud

Bakr Abu Zayd

  • Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (09/387) nr. (6505)
  • Imechapishwa: 10/05/2022