Swali: Je, swalah ya imamu inabatilika akiwaombea du´aa watu wa Chechenia katika Qunuut na akalia kutokana na hali yao?
Jibu: Haibatiliki. Kulia huku ni kwa ajili ya kumwogopa Allaah. Anamwomba Allaah nusura juu ya waislamu. Si kwamba analia kwa ajili ya dunia.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
- Imechapishwa: 19/03/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket