Swali: Je, swalah ya imamu inabatilika akiwaombea du´aa watu wa Chechenia katika Qunuut na akalia kutokana na hali yao?
Jibu: Haibatiliki. Kulia huku ni kwa ajili ya kumwogopa Allaah. Anamwomba Allaah nusura juu ya waislamu. Si kwamba analia kwa ajili ya dunia.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
- Imechapishwa: 19/03/2021
Swali: Je, swalah ya imamu inabatilika akiwaombea du´aa watu wa Chechenia katika Qunuut na akalia kutokana na hali yao?
Jibu: Haibatiliki. Kulia huku ni kwa ajili ya kumwogopa Allaah. Anamwomba Allaah nusura juu ya waislamu. Si kwamba analia kwa ajili ya dunia.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
Imechapishwa: 19/03/2021
https://firqatunnajia.com/kulia-kubatilisha-swalah-ya-mswaliji/