Swali: Kuna mtu ambaye ana haja kubwa ya gari. Hakuna njia nyingine anaweza kuipa isipokuwa kwa njia ya kukodisha kwanza halafu yeye ataimiliki baadaye. Afanye hivo?
Jibu: Hapana. Haijuzu. Asubiri mpaka pale Allaah atapomsahilishia kununua gari. Vinginevyo apande teksi. Pindi Allaah atapomsahilishia ndio anunue gari.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdatul%20Fiqh%20-%2018%20-%201-%20-1436.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Kuna mtu ambaye ana haja kubwa ya gari. Hakuna njia nyingine anaweza kuipa isipokuwa kwa njia ya kukodisha kwanza halafu yeye ataimiliki baadaye. Afanye hivo?
Jibu: Hapana. Haijuzu. Asubiri mpaka pale Allaah atapomsahilishia kununua gari. Vinginevyo apande teksi. Pindi Allaah atapomsahilishia ndio anunue gari.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdatul%20Fiqh%20-%2018%20-%201-%20-1436.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/kukodisha-kwanza-halafu-kumiki-baadaye/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)