Swali: Ni zipi nasaha zako kwa wanawake ambao wanaikaribisha Ramadhaan kwa kuandaa vyakula mbalimbali huku wanasahau matendo mema?
Jibu: Hakuna kasoro kwa wao kuandaa vyakula. Sambamba na hilo ni lazima kwao wasihisi uvivu ya kufanya ´ibaadah. Kuhusu kuandaa vyakula ni jambo lenye kuruhusiwa muda wa kuwa limesalimika kutokamana na ubadhirifu.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/نصيحة-دعوية-للنساء-في-شهر-رمضان
- Imechapishwa: 12/06/2022
Swali: Ni zipi nasaha zako kwa wanawake ambao wanaikaribisha Ramadhaan kwa kuandaa vyakula mbalimbali huku wanasahau matendo mema?
Jibu: Hakuna kasoro kwa wao kuandaa vyakula. Sambamba na hilo ni lazima kwao wasihisi uvivu ya kufanya ´ibaadah. Kuhusu kuandaa vyakula ni jambo lenye kuruhusiwa muda wa kuwa limesalimika kutokamana na ubadhirifu.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/نصيحة-دعوية-للنساء-في-شهر-رمضان
Imechapishwa: 12/06/2022
https://firqatunnajia.com/kuikaribisha-ramadhaan-kwa-kuandaa-vyakula/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)