Swali 125: Je, inafaa kukata miti yenye kuudhi makaburini?
Jibu: Inatakiwa kukatwa. Inawaudhi wenye kuja kutembea. Vivyo hivyo inatakiwa kuondoa ile miiba inayopatikana kwa ajili ya kuwapumzisha watembezi kutokamana na shari yake. Haikusuniwa kwa yeyote kupanda katika makaburi chochote katika mti wala majani. Allaah hakuweka Shari´ah ya jambo hilo.
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliweka miti miwili juu ya makaburi mawili aliyojua kuwa yanaadhibiwa. Hakupanda miti hiyo katika makaburi mengine ya Madiynah na makaburi ya al-Baqiy´. Vivyo hivyo Maswahabah hawakufanya hivo. Hivyo ikatambulika kuwa jambo hilo ni maalum kwa watu wawili wale waliokuwa wakiadhibiwa ndani ya makaburi yale.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (13/361)
- Imechapishwa: 11/11/2021
Swali 125: Je, inafaa kukata miti yenye kuudhi makaburini?
Jibu: Inatakiwa kukatwa. Inawaudhi wenye kuja kutembea. Vivyo hivyo inatakiwa kuondoa ile miiba inayopatikana kwa ajili ya kuwapumzisha watembezi kutokamana na shari yake. Haikusuniwa kwa yeyote kupanda katika makaburi chochote katika mti wala majani. Allaah hakuweka Shari´ah ya jambo hilo.
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliweka miti miwili juu ya makaburi mawili aliyojua kuwa yanaadhibiwa. Hakupanda miti hiyo katika makaburi mengine ya Madiynah na makaburi ya al-Baqiy´. Vivyo hivyo Maswahabah hawakufanya hivo. Hivyo ikatambulika kuwa jambo hilo ni maalum kwa watu wawili wale waliokuwa wakiadhibiwa ndani ya makaburi yale.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (13/361)
Imechapishwa: 11/11/2021
https://firqatunnajia.com/je-inafaa-kukata-miti-yenye-kuudhi-makaburini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)