Swali: Inajuzu kwa mtu kuacha anausia kuzikwa sehemu maalum?
Jibu: Ndio, inajuzu kuacha anausia kuzikwa sehemu maalum ikiwa ni miongoni mwa sehemu zinazojuzu kuzikwa. Ikiwa ni sehemu isiyojuzu, kama mfano wa msikitini, haijuzu kutekeleza wasia wake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/211-212)
- Imechapishwa: 26/08/2021
Swali: Inajuzu kwa mtu kuacha anausia kuzikwa sehemu maalum?
Jibu: Ndio, inajuzu kuacha anausia kuzikwa sehemu maalum ikiwa ni miongoni mwa sehemu zinazojuzu kuzikwa. Ikiwa ni sehemu isiyojuzu, kama mfano wa msikitini, haijuzu kutekeleza wasia wake.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/211-212)
Imechapishwa: 26/08/2021
https://firqatunnajia.com/inajuzu-mtu-kuacha-anausia-kuzikwa-sehemu-maalum-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)