Swali: Kuna dhambi kwa mwanamke mfungaji kutumia mafuta?
Jibu: Mwanamke hana dhambi akitumia mafuta usoni mwake au kwenginepo katika vitu vinavyompamba au visivyompamba. Muhimu ni kwamba mafuta, kwa aina zake zote, sawa yatumiwe usoni mwake, mgongoni mwake au sehemu nyingine yoyote, hayamuathiri chochote mfungaji na wala hayamfunguzi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/228)
- Imechapishwa: 12/06/2017
Swali: Kuna dhambi kwa mwanamke mfungaji kutumia mafuta?
Jibu: Mwanamke hana dhambi akitumia mafuta usoni mwake au kwenginepo katika vitu vinavyompamba au visivyompamba. Muhimu ni kwamba mafuta, kwa aina zake zote, sawa yatumiwe usoni mwake, mgongoni mwake au sehemu nyingine yoyote, hayamuathiri chochote mfungaji na wala hayamfunguzi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/228)
Imechapishwa: 12/06/2017
https://firqatunnajia.com/inafaa-kwa-mfungaji-kutumia-mafuta/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)