Swali: Alfajiri katika Ramadhaan mfungaji anakuwa na tumbo lenye kujaa. Pindi anapotaka kutoa hewa kunatoka kitu katika chakula au maji kidogo ambayo hayafiki kooni. Je, kunafunguza?
Jibu: Haya uliyoelezea huwatokea watu wengi pindi matumbo yao yamevaa chakula. Mtu anapofanya kikwikwi kunaweza kutoka kitu katika chakula na maji. Ikiwa hakikufika kinywani na hakukimeza hakuna neno.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/232)
- Imechapishwa: 12/06/2017
Swali: Alfajiri katika Ramadhaan mfungaji anakuwa na tumbo lenye kujaa. Pindi anapotaka kutoa hewa kunatoka kitu katika chakula au maji kidogo ambayo hayafiki kooni. Je, kunafunguza?
Jibu: Haya uliyoelezea huwatokea watu wengi pindi matumbo yao yamevaa chakula. Mtu anapofanya kikwikwi kunaweza kutoka kitu katika chakula na maji. Ikiwa hakikufika kinywani na hakukimeza hakuna neno.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/232)
Imechapishwa: 12/06/2017
https://firqatunnajia.com/kikwikwi-kinachomtoka-mtu-baada-ya-kula-sana-kinafunguza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)