Swali: Ni ipi hukumu kwa mwanamke kuzipaka rangi nywele zake ikiwa rangi hiyo sio nyeusi?
Jibu: Ni sawa ikiwa nywele ni mvi. Ikiwa sio mvi asizitie rangi. Katika hali hii aziache. Asizibadilishe kuzitoa katika rangi ya asli na kuzitia rangi nyingine. Mvi tu ndio zinatakiwa kutiwa rangi isipokuwa rangi nyeusi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%20-%2017-%2010-1436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwanamke kuzipaka rangi nywele zake ikiwa rangi hiyo sio nyeusi?
Jibu: Ni sawa ikiwa nywele ni mvi. Ikiwa sio mvi asizitie rangi. Katika hali hii aziache. Asizibadilishe kuzitoa katika rangi ya asli na kuzitia rangi nyingine. Mvi tu ndio zinatakiwa kutiwa rangi isipokuwa rangi nyeusi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%20-%2017-%2010-1436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-itajuzu-mwanamke-kupaka-nywele-rangi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)