Swali: Kuna Hadiyth kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambazo zinasisitiza mtu kujiepusha na fitina. Kutokana na hali ya leo ni bora kwa mtu kujiepusha na fitina au asimame juu ya haki na kupambana na wale wenye kueneza fitina?
Jibu: Ajiepusha na fitina. Lakini akitiwa katika mitihani na kukutana nayo na kuiona apambane nayo kwa elimu yenye manufaa na ubainifu. Lakini kila ambavyo mtu atajiepusha nayo ni bora na salama zaidi kwake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%20-%2017-%2010-1436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Kuna Hadiyth kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambazo zinasisitiza mtu kujiepusha na fitina. Kutokana na hali ya leo ni bora kwa mtu kujiepusha na fitina au asimame juu ya haki na kupambana na wale wenye kueneza fitina?
Jibu: Ajiepusha na fitina. Lakini akitiwa katika mitihani na kukutana nayo na kuiona apambane nayo kwa elimu yenye manufaa na ubainifu. Lakini kila ambavyo mtu atajiepusha nayo ni bora na salama zaidi kwake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%20-%2017-%2010-1436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/dawah-kipindi-cha-fitina/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)