Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yeyote anayesema ´hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah` ataingia Peponi.”
Mwenye kusema hivo lakini haswali anakuwa ni mwenye kuingia katika mkumbo huo?
Jibu: Haitomfaa kitu. Hapa ni kwa ambaye ameisema mwishoni mwa uhai wake kisha ikachukuliwa roho yake. Huyu ndiye ataingia kwayo Peponi. Kuhusu mwenye kuisema ambapo akaacha swalah na matendo mengine, haitomfaa kitu shahaadah.
- Mhusika: Imam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18326
- Imechapishwa: 17/10/2021
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yeyote anayesema ´hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah` ataingia Peponi.”
Mwenye kusema hivo lakini haswali anakuwa ni mwenye kuingia katika mkumbo huo?
Jibu: Haitomfaa kitu. Hapa ni kwa ambaye ameisema mwishoni mwa uhai wake kisha ikachukuliwa roho yake. Huyu ndiye ataingia kwayo Peponi. Kuhusu mwenye kuisema ambapo akaacha swalah na matendo mengine, haitomfaa kitu shahaadah.
Mhusika: Imam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18326
Imechapishwa: 17/10/2021
https://firqatunnajia.com/anatamka-shahaadah-lakini-haswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)