Swali: Ni ipi hukumu ya kunyanyua sauti kwa kusema “Aamiyn” katika swalah ya Dhuhr?
Jibu: Hatujui dalili kutoka katika Qur-aan, Sunnah wala matendo ya makhaliyfah wanne yanayojulisha juu ya kufaa kufanya hivo. Imethibiti kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba amesema:
“Yeyote atakayefanya kitendo kisichoafikiana na amri yetu basi atarudishiwa mwenyewe.”
Anayesema kuwa ni jambo limewekwa katika Shari´ah basi aombwe dalili. Hakika si venginevyo kusema “Aamiyn” kwa sauti ya juu ni jambo maalum linalokuwa katika kisomo katika swalah za kusoma kwa sauti ya juu kwa imamu na maamuma.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/121)
- Imechapishwa: 17/10/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kunyanyua sauti kwa kusema “Aamiyn” katika swalah ya Dhuhr?
Jibu: Hatujui dalili kutoka katika Qur-aan, Sunnah wala matendo ya makhaliyfah wanne yanayojulisha juu ya kufaa kufanya hivo. Imethibiti kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba amesema:
“Yeyote atakayefanya kitendo kisichoafikiana na amri yetu basi atarudishiwa mwenyewe.”
Anayesema kuwa ni jambo limewekwa katika Shari´ah basi aombwe dalili. Hakika si venginevyo kusema “Aamiyn” kwa sauti ya juu ni jambo maalum linalokuwa katika kisomo katika swalah za kusoma kwa sauti ya juu kwa imamu na maamuma.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/121)
Imechapishwa: 17/10/2021
https://firqatunnajia.com/kusema-aamiyn-hakukuwi-katika-swalah-za-kusoma-kimyakimya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)