Swali: Je, anapata dhambi pia anayesikiliza umbea pasi na kukataza?
Jibu: Ndio. Anayesikiliza umbea na asikataze anashiriki katika madhambi. Hii ni dhambi. Kwa hiyo ni lazima kwake kukataza maovu.
- Mhusika: Imam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18331
- Imechapishwa: 17/10/2021
Swali: Je, anapata dhambi pia anayesikiliza umbea pasi na kukataza?
Jibu: Ndio. Anayesikiliza umbea na asikataze anashiriki katika madhambi. Hii ni dhambi. Kwa hiyo ni lazima kwake kukataza maovu.
Mhusika: Imam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18331
Imechapishwa: 17/10/2021
https://firqatunnajia.com/msikilizaji-naye-anapata-dhambi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)