Swali: Kuna mwanafunzi aliweka nadhiri kwamba akifaulu basi atafunga siku ya alkhamisi inayofuata mpaka alkhamisi nyingine. Alipofaulu akaanza kufunga siku ya alkhamisi na ijumaa. Lakini hata hivyo akasafiri siku ya jumamosi ambapo ikambidi afungue. Je, afunge badala yake wiki nyingine?
Jibu: Ndio. Ni lazima kwake kulipa pamoja na kutubia na kuomba msamaha. Afunge idadi ya yale masiku aliyokula.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (09) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191370#219699
- Imechapishwa: 08/03/2019
Swali: Kuna mwanafunzi aliweka nadhiri kwamba akifaulu basi atafunga siku ya alkhamisi inayofuata mpaka alkhamisi nyingine. Alipofaulu akaanza kufunga siku ya alkhamisi na ijumaa. Lakini hata hivyo akasafiri siku ya jumamosi ambapo ikambidi afungue. Je, afunge badala yake wiki nyingine?
Jibu: Ndio. Ni lazima kwake kulipa pamoja na kutubia na kuomba msamaha. Afunge idadi ya yale masiku aliyokula.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (09) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191370#219699
Imechapishwa: 08/03/2019
https://firqatunnajia.com/amekata-nadhiri-ya-swawm-kwa-sababu-ya-safari/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)