Swali: Msafiri akiingia kwenye misikiti iliyo njiani na akajiunga na watu wenye kuswali. Akanuia kufupisha swalah lakini baada ya kuswali Rak´ah mbili akaona kuwa imamu anaswali kikamilifu. Afanye nini?
Jibu: Ni lazima kuswali kikamilifu na kumfuata imamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (12) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-19-10-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 30/09/2017
Swali: Msafiri akiingia kwenye misikiti iliyo njiani na akajiunga na watu wenye kuswali. Akanuia kufupisha swalah lakini baada ya kuswali Rak´ah mbili akaona kuwa imamu anaswali kikamilifu. Afanye nini?
Jibu: Ni lazima kuswali kikamilifu na kumfuata imamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (12) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-19-10-1434_0.mp3
Imechapishwa: 30/09/2017
https://firqatunnajia.com/amegundua-kuwa-imamu-anaswali-kikamilifu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)