Swali: Nyumbani tunaswali kwenye mkeka wa kuswalia pamoja na kuwa tunajua kuwa sakafu ni safi. Je, kitendo chetu hichi ni wasiwasi?
Jibu: Ndio, ikiwa mnaonelea kuwa ni jambo limewekwa katika Shari´ah. Na ikiwa mfanya hivo kwa sababu tu ya kulinda sakafu au kilichoko chini, ni sawa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%208%20-%2011%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2017
Swali: Nyumbani tunaswali kwenye mkeka wa kuswalia pamoja na kuwa tunajua kuwa sakafu ni safi. Je, kitendo chetu hichi ni wasiwasi?
Jibu: Ndio, ikiwa mnaonelea kuwa ni jambo limewekwa katika Shari´ah. Na ikiwa mfanya hivo kwa sababu tu ya kulinda sakafu au kilichoko chini, ni sawa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%208%20-%2011%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 13/02/2017
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuswali-kwenye-mkeka-wa-kuswalia-3/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)