Swali: Nyumbani tunaswali kwenye mkeka wa kuswalia pamoja na kuwa tunajua kuwa sakafu ni safi. Je, kitendo chetu hichi ni wasiwasi?
Jibu: Ndio, ikiwa mnaonelea kuwa ni jambo limewekwa katika Shari´ah. Na ikiwa mfanya hivo kwa sababu tu ya kulinda sakafu au kilichoko chini, ni sawa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%208%20-%2011%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2017
Swali: Nyumbani tunaswali kwenye mkeka wa kuswalia pamoja na kuwa tunajua kuwa sakafu ni safi. Je, kitendo chetu hichi ni wasiwasi?
Jibu: Ndio, ikiwa mnaonelea kuwa ni jambo limewekwa katika Shari´ah. Na ikiwa mfanya hivo kwa sababu tu ya kulinda sakafu au kilichoko chini, ni sawa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%208%20-%2011%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 13/02/2017
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuswali-kwenye-mkeka-wa-kuswalia-3/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket