Swali: Inajuzu kuitwa kwa jina la Abraar na Ibtihaal?
Jibu: Haya yatakuja huko mbele – in shaa Allaah. Kuna mjakazi alikuwa anaitwa Barra Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akabadilisha jina lake. Kwa kuwa huku ni kujisifu. Jina likiwa ndani yake na kujisifu inachukizwa kama itavyokuja huko mbeleni.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-11.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Inajuzu kuitwa kwa jina la Abraar na Ibtihaal?
Jibu: Haya yatakuja huko mbele – in shaa Allaah. Kuna mjakazi alikuwa anaitwa Barra Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akabadilisha jina lake. Kwa kuwa huku ni kujisifu. Jina likiwa ndani yake na kujisifu inachukizwa kama itavyokuja huko mbeleni.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-11.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-majina-ya-kujisifia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)