Swali: Je, inajuzu kuitwa kwa jina la Naaswir na kwa majina ya Malaika kama Jibriyl na Maalik?
Jibu: Ndio, inajuzu kuitwa kwa Naaswir. Hakuna neno. Nusuru yake inalingana na kiasi chake na sio mfano wa Nusura ya Allaah (´Azza wa Jalla). Inajuzu kuitwa kwa majina ya Malaika kama jibriyl. Kuna watu wengi leo ambao wanaitwa Jibriyl. Mnamjua Ibn Jibriyl? Inajuzu. Hakuna neno – in shaa Allaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Swali: Ambaye ni mjinga na akachinja kabla ya Swalah ya Idi na hakujua isipokuwa baada ya kutoka nje muda wa kuchinja ni lipi la wajibu juu yake? Jibu: Udhhiyah imempita. Ale nyama na amhimidi Allaah na haiwi Udhhiyah.
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-11.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Je, inajuzu kuitwa kwa jina la Naaswir na kwa majina ya Malaika kama Jibriyl na Maalik?
Jibu: Ndio, inajuzu kuitwa kwa Naaswir. Hakuna neno. Nusuru yake inalingana na kiasi chake na sio mfano wa Nusura ya Allaah (´Azza wa Jalla). Inajuzu kuitwa kwa majina ya Malaika kama jibriyl. Kuna watu wengi leo ambao wanaitwa Jibriyl. Mnamjua Ibn Jibriyl? Inajuzu. Hakuna neno – in shaa Allaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Swali: Ambaye ni mjinga na akachinja kabla ya Swalah ya Idi na hakujua isipokuwa baada ya kutoka nje muda wa kuchinja ni lipi la wajibu juu yake? Jibu: Udhhiyah imempita. Ale nyama na amhimidi Allaah na haiwi Udhhiyah.
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-11.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-kuitwa-kwa-majina-ya-malaika/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)