6- Kujitapikisha. Kujitapikisha kunamfunguza yule mwenye kufunga kwa mujibu wa maoni sahihi zaidi ya wanachuoni. Hapa ni pale ambapo atajitapikisha kwa makusudi. Ama akijizuia na matapishi yakamshinda basi hakumfunguzi mwenye kufunga. Kutokana na yale yaliyopokelewa kupitia kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Ambaye yatamshinda matapishi basi halazimiki kulipa. Na ambaye atajitapisha basi ni lazima kwake kulipa.”[1]
Ibn Mundhiriy amesema:
“Wanachuoni wameafikiana juu kuharibika swawm ya mwenye kujitapikisha kwa makusudi.”[2]
[1] Abu Daawuud (2380), at-Tirmidhiy (720), Ibn Maajah (1676). Ni Swahiyh kwa mujibu wa Ibn Hibbaan na al-Haakim.
[2] Tazama ”al-Ijmaa´” (49/126) ya Ibn-ul-Mundhiriy.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtaswaru fiy Ahkaam-is-Swiyaam, uk. 16
- Imechapishwa: 18/04/2019
6- Kujitapikisha. Kujitapikisha kunamfunguza yule mwenye kufunga kwa mujibu wa maoni sahihi zaidi ya wanachuoni. Hapa ni pale ambapo atajitapikisha kwa makusudi. Ama akijizuia na matapishi yakamshinda basi hakumfunguzi mwenye kufunga. Kutokana na yale yaliyopokelewa kupitia kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Ambaye yatamshinda matapishi basi halazimiki kulipa. Na ambaye atajitapisha basi ni lazima kwake kulipa.”[1]
Ibn Mundhiriy amesema:
“Wanachuoni wameafikiana juu kuharibika swawm ya mwenye kujitapikisha kwa makusudi.”[2]
[1] Abu Daawuud (2380), at-Tirmidhiy (720), Ibn Maajah (1676). Ni Swahiyh kwa mujibu wa Ibn Hibbaan na al-Haakim.
[2] Tazama ”al-Ijmaa´” (49/126) ya Ibn-ul-Mundhiriy.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtaswaru fiy Ahkaam-is-Swiyaam, uk. 16
Imechapishwa: 18/04/2019
https://firqatunnajia.com/10-jambo-la-tano-linaloharibu-swawm-kujitapikisha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)