Swali: Je, ngazi hizi zinalingana upande wa thawabu za kisomo cha Qur-aan, vita na swadaqah?
Jibu: Thawabu zinatofautiana kutegemea nia ya mja, utakasifu wake, ukweli wake na ukamilifu wa kitendo chake. Kwa hiyo inatofautiana. Huyu anaswali na mwingine anaswali hata hivyo kati ya swalah hizo mbili kuna utofauti kama utofauti wa mashariki na magharibi. Huyu wa kwanza ameielekea swalah yake, akaitilia umuhimu, akamnyenyekea Allaah na akaikamilisha. Huyu wa pili ameifanyia upungufu. Kwa hiyo kati yazo kunakuwa na tofauti. Vivyo hivyo swawm zao na hajj zao zinatofautiana.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21903/هل-تتفاوت-درجات-الثواب-للاعمال-الصالحة
- Imechapishwa: 29/09/2022
Swali: Je, ngazi hizi zinalingana upande wa thawabu za kisomo cha Qur-aan, vita na swadaqah?
Jibu: Thawabu zinatofautiana kutegemea nia ya mja, utakasifu wake, ukweli wake na ukamilifu wa kitendo chake. Kwa hiyo inatofautiana. Huyu anaswali na mwingine anaswali hata hivyo kati ya swalah hizo mbili kuna utofauti kama utofauti wa mashariki na magharibi. Huyu wa kwanza ameielekea swalah yake, akaitilia umuhimu, akamnyenyekea Allaah na akaikamilisha. Huyu wa pili ameifanyia upungufu. Kwa hiyo kati yazo kunakuwa na tofauti. Vivyo hivyo swawm zao na hajj zao zinatofautiana.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21903/هل-تتفاوت-درجات-الثواب-للاعمال-الصالحة
Imechapishwa: 29/09/2022
https://firqatunnajia.com/zinatofautiana-daraja-za-matendo-mema/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)