Swali: Mimi naishi nchini mwangu. Nchi huku inanipa zawadi kwa mnasaba wa mwaka mpya. Nikipokea zawadi hizi inafaa kwangu kubaki nazo?
Jibu: Hapana. Usizipokee. Hata chakula kinachopikwa kwa mnasaba wa sikukuu ya kizushi usikichukue. Kwa sababu kufanya hivo ni kuwasaidia na kufurahia kile walichokifanya.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (63) http://alfawzan.af.org.sa/node/16495
- Imechapishwa: 17/12/2019
Swali: Mimi naishi nchini mwangu. Nchi huku inanipa zawadi kwa mnasaba wa mwaka mpya. Nikipokea zawadi hizi inafaa kwangu kubaki nazo?
Jibu: Hapana. Usizipokee. Hata chakula kinachopikwa kwa mnasaba wa sikukuu ya kizushi usikichukue. Kwa sababu kufanya hivo ni kuwasaidia na kufurahia kile walichokifanya.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (63) http://alfawzan.af.org.sa/node/16495
Imechapishwa: 17/12/2019
https://firqatunnajia.com/zawadi-ya-krismasi-na-mwaka-mpya-kutoka-serikalini/