Ibn-ul-Qaasim amesema:
“Maalik amesema kuwa mtu ambaye analazimika kuwahudumia wazazi wake basi anatakiwa kuwatolea Zakaat-ul-Fitwr.”
Tulimuuliza Maalik kuhusu mtoto ambaye anahitaji kuwasaidia wazazi wake kwa sababu wanamuhitaji; je, ni lazima awatolee Zakaat-ul-Fitwr? Akajibu ndio.
- Muhusika: Imaam Sahnuun bin Sa´iyd at-Tanuukhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Mudawwanah al-Kubraa (1/116)
- Imechapishwa: 01/05/2022
Ibn-ul-Qaasim amesema:
“Maalik amesema kuwa mtu ambaye analazimika kuwahudumia wazazi wake basi anatakiwa kuwatolea Zakaat-ul-Fitwr.”
Tulimuuliza Maalik kuhusu mtoto ambaye anahitaji kuwasaidia wazazi wake kwa sababu wanamuhitaji; je, ni lazima awatolee Zakaat-ul-Fitwr? Akajibu ndio.
Muhusika: Imaam Sahnuun bin Sa´iyd at-Tanuukhiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Mudawwanah al-Kubraa (1/116)
Imechapishwa: 01/05/2022
https://firqatunnajia.com/zakaat-ul-fitwr-ya-mtoto-kwa-wazazi-kwa-mujibu-wa-maalik/