Maalik amesema:
“Mwenye kusilimu ambaye ameingia katika Uislamu baada ya kuchomoza kwa jua siku ya Fitwr inapendeza kwake kutoa Zakaat-ul-Fitwr.”
Amesema:
“Kuhusiana na Udhhiyyah, naonelea kuwa dhahiri zaidi kwamba analazimika kuchinja.”
Maalik amesem:
“Kipomoko tumboni hakitolewi Zakaat-ul-Fitwr. Lakini mama akijifungua siku ya Fitwr au usiku wa kuamkia siku ya Fitwr, basi ni lazima kumtolea Zakaat-ul-Fitwr mtoto huyu mchanga.”
- Muhusika: Imaam Sahnuun bin Sa´iyd at-Tanuukhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Mudawwanah al-Kubraa (1/114)
- Imechapishwa: 01/05/2022
Maalik amesema:
“Mwenye kusilimu ambaye ameingia katika Uislamu baada ya kuchomoza kwa jua siku ya Fitwr inapendeza kwake kutoa Zakaat-ul-Fitwr.”
Amesema:
“Kuhusiana na Udhhiyyah, naonelea kuwa dhahiri zaidi kwamba analazimika kuchinja.”
Maalik amesem:
“Kipomoko tumboni hakitolewi Zakaat-ul-Fitwr. Lakini mama akijifungua siku ya Fitwr au usiku wa kuamkia siku ya Fitwr, basi ni lazima kumtolea Zakaat-ul-Fitwr mtoto huyu mchanga.”
Muhusika: Imaam Sahnuun bin Sa´iyd at-Tanuukhiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Mudawwanah al-Kubraa (1/114)
Imechapishwa: 01/05/2022
https://firqatunnajia.com/zakaat-ul-fitwr-ya-mwenye-kusilimu-kwa-mujibu-wa-maalik/