604 – Nilimsikia Ahmad akitaja kuwa ´Atwaa alikuwa akiwatolea Zakaat-ul-Fitwr wazazi wake waliofariki. Nikamuuliza: “Unapendelea jambo hilo, ee Abu ´Abdillaah?” Akajibu:
“Ni jambo zuri akilifanya.”
- Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaail-ul-Imaam Ahmad, uk. 124
- Imechapishwa: 01/05/2022
604 – Nilimsikia Ahmad akitaja kuwa ´Atwaa alikuwa akiwatolea Zakaat-ul-Fitwr wazazi wake waliofariki. Nikamuuliza: “Unapendelea jambo hilo, ee Abu ´Abdillaah?” Akajibu:
“Ni jambo zuri akilifanya.”
Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaail-ul-Imaam Ahmad, uk. 124
Imechapishwa: 01/05/2022
https://firqatunnajia.com/zakaat-ul-fitwr-kwa-wazazi-waliofariki/