Nilimuuliza Ibn-ul-Qaasim iwapo mtu anayestahiki kutoa Zakaat-ul-Fitwr pia anatakiwa kutoa Zakaat-ul-Fitwr kwa mujibu wa Maalik. Akajibu ndio.
Nilimuuliza kama wahitaji wanalazimika kutoa Zakaat-ul-Fitwr. Akajibu:
Maalik alinambia: “Kama anaweza kufanya hivyo, basi atafanya.”
Kisha tukamuuliza ikiwa anaweza kupata mtu awezaye kumkopesha pesa. Akajibu:
“Basi anaweza kukopa na kutoa.”
Nilimuuliza kuhusu wahitaji ambao hawawezi kukopa wala kuwa na uwezo wa kulipa Zakaat-ul-Fiwt kwa miaka yote iliyopita; ni lazima afanye hivo? Akasema:
“Hapana. Hayo ni maoni ya Maalik na maoni yangu.”
Maalik pia alisema:
“Yeyote anayechelewesha Zakaat-ul-Fitwr kwa miaka kadhaa basi ni lazima alipe kwa miaka yote iliyopita.”
- Muhusika: Imaam Sahnuun bin Sa´iyd at-Tanuukhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Mudawwanah al-Kubraa (1/109-110)
- Imechapishwa: 28/04/2022
Nilimuuliza Ibn-ul-Qaasim iwapo mtu anayestahiki kutoa Zakaat-ul-Fitwr pia anatakiwa kutoa Zakaat-ul-Fitwr kwa mujibu wa Maalik. Akajibu ndio.
Nilimuuliza kama wahitaji wanalazimika kutoa Zakaat-ul-Fitwr. Akajibu:
Maalik alinambia: “Kama anaweza kufanya hivyo, basi atafanya.”
Kisha tukamuuliza ikiwa anaweza kupata mtu awezaye kumkopesha pesa. Akajibu:
“Basi anaweza kukopa na kutoa.”
Nilimuuliza kuhusu wahitaji ambao hawawezi kukopa wala kuwa na uwezo wa kulipa Zakaat-ul-Fiwt kwa miaka yote iliyopita; ni lazima afanye hivo? Akasema:
“Hapana. Hayo ni maoni ya Maalik na maoni yangu.”
Maalik pia alisema:
“Yeyote anayechelewesha Zakaat-ul-Fitwr kwa miaka kadhaa basi ni lazima alipe kwa miaka yote iliyopita.”
Muhusika: Imaam Sahnuun bin Sa´iyd at-Tanuukhiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Mudawwanah al-Kubraa (1/109-110)
Imechapishwa: 28/04/2022
https://firqatunnajia.com/zakaat-ul-fitwr-ya-masikini-kwa-mujibu-wa-maalik/