Swali: Je, nimtolee Zakaat-ul-Fitwr yatima ambaye ninamfadhili huko Afrika?
Jibu: Zakaat-ul-Fitwr mtu anaitoa katika ile nchi ambayo Ramadhaan imemkuta akiwa ndani yake. Kwa sababu ni yenye kufuata mwili. Yatima mkusudiwa atajitolea mwenyewe katika nchi yake au atatolewa na jumuiya inayosimamia suala la kumwangalia huko alipo.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalus-Shaykh
Bakr Abu Zayd
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (08/265) nr. (17299)
- Imechapishwa: 10/05/2022
Swali: Je, nimtolee Zakaat-ul-Fitwr yatima ambaye ninamfadhili huko Afrika?
Jibu: Zakaat-ul-Fitwr mtu anaitoa katika ile nchi ambayo Ramadhaan imemkuta akiwa ndani yake. Kwa sababu ni yenye kufuata mwili. Yatima mkusudiwa atajitolea mwenyewe katika nchi yake au atatolewa na jumuiya inayosimamia suala la kumwangalia huko alipo.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalus-Shaykh
Bakr Abu Zayd
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (08/265) nr. (17299)
Imechapishwa: 10/05/2022
https://firqatunnajia.com/zakaat-ul-fitwr-kwa-yatima-ninayemfadhili-nje-ya-nchi/