Swali: Je, inafaa kumtolea Zakaat-ul-Fitwr mke wangu kwa sababu mimi nimefunga Ramadhaan nikiwa katika mkoa wa mashariki na mke wangu akiwa kusini?
Jibu: Mtu hutoa Zakaat-ul-Fitwr yale maeneo alipo mtu. Hata hivyo itafaa ikiwa wakala wake au msimamizi wake atamtoela katika mji ambao yeye hayupo.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (09/385) nr. (6829)
- Imechapishwa: 12/05/2022
Swali: Je, inafaa kumtolea Zakaat-ul-Fitwr mke wangu kwa sababu mimi nimefunga Ramadhaan nikiwa katika mkoa wa mashariki na mke wangu akiwa kusini?
Jibu: Mtu hutoa Zakaat-ul-Fitwr yale maeneo alipo mtu. Hata hivyo itafaa ikiwa wakala wake au msimamizi wake atamtoela katika mji ambao yeye hayupo.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (09/385) nr. (6829)
Imechapishwa: 12/05/2022
https://firqatunnajia.com/zakaat-ul-fitwr-kwa-ambaye-amefunga-ramadhaan-mji-mwingine-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket