604- Nilimsikia Ahmad kwamba ´Atwaa´ alikuwa akitoa Zakaat-ul-Fitwr kwa niaba ya wazazi wake wawili. Nikamuuliza: “Unapendelea jambo hilo, ee Abu ´Abdillaah?” Akajibu:
“Ni jambo zuri akilifanya.”
- Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 124
- Imechapishwa: 20/03/2021
604- Nilimsikia Ahmad kwamba ´Atwaa´ alikuwa akitoa Zakaat-ul-Fitwr kwa niaba ya wazazi wake wawili. Nikamuuliza: “Unapendelea jambo hilo, ee Abu ´Abdillaah?” Akajibu:
“Ni jambo zuri akilifanya.”
Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 124
Imechapishwa: 20/03/2021
https://firqatunnajia.com/zakaat-ul-fitwr-juu-ya-wazazi-waliofariki/