Swali: Mtunzi (Rahimahu Allaah) amesema kuwa inatakiwa kutoa zakaah 1/5 kwa ajili ya vile vitokavyo ardhini, pasi na kujali ni mali aina gani na kiwango chake. Je, hiyo ina maana kwamba vile vyenye kuchimbwa kutoka ardhini havina kiwango ambacho ni lazima kinachozingatiwa (النصاب)?
Jibu: Ndio. Havina kiwango ambacho ni cha lazima, ni mamoja kiwango ni kikubwa au kidogo. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewajibisha kutoa 1/5 juu ya vile vinavyochimbwa na wala hakutoa maelezo kupambanua.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
- Imechapishwa: 27/04/2021
Swali: Mtunzi (Rahimahu Allaah) amesema kuwa inatakiwa kutoa zakaah 1/5 kwa ajili ya vile vitokavyo ardhini, pasi na kujali ni mali aina gani na kiwango chake. Je, hiyo ina maana kwamba vile vyenye kuchimbwa kutoka ardhini havina kiwango ambacho ni lazima kinachozingatiwa (النصاب)?
Jibu: Ndio. Havina kiwango ambacho ni cha lazima, ni mamoja kiwango ni kikubwa au kidogo. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewajibisha kutoa 1/5 juu ya vile vinavyochimbwa na wala hakutoa maelezo kupambanua.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
Imechapishwa: 27/04/2021
https://firqatunnajia.com/zakaah-ya-vyenye-kutoka-ardhini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)