Swali: Mimi nina bustani linalotoa matunda kila mwaka. Je, nitoe zakaah juu ya matunda yanatoka katika bustani hili?
Jibu: Matunda hayana zakaah. Zakaah itatolewa juu ya kile kima/thamani yake. Ukiyauza na pesa zikatimiza mwaka mmoja (النصاب), hapo ndipo utatakiwa kulipa zakaah. Ama kuhusu matunda yenyewe hayana zakaah. Zakaah inakuwa katika nafaka na mazalisho.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
- Imechapishwa: 05/12/2016
Swali: Mimi nina bustani linalotoa matunda kila mwaka. Je, nitoe zakaah juu ya matunda yanatoka katika bustani hili?
Jibu: Matunda hayana zakaah. Zakaah itatolewa juu ya kile kima/thamani yake. Ukiyauza na pesa zikatimiza mwaka mmoja (النصاب), hapo ndipo utatakiwa kulipa zakaah. Ama kuhusu matunda yenyewe hayana zakaah. Zakaah inakuwa katika nafaka na mazalisho.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
Imechapishwa: 05/12/2016
https://firqatunnajia.com/zakaah-ya-matunda/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)