Swali: Mimi nina bustani linalotoa matunda kila mwaka. Je, nitoe zakaah juu ya matunda yanatoka katika bustani hili?
Jibu: Matunda hayana zakaah. Zakaah itatolewa juu ya kile kima/thamani yake. Ukiyauza na pesa zikatimiza mwaka mmoja (النصاب), hapo ndipo utatakiwa kulipa zakaah. Ama kuhusu matunda yenyewe hayana zakaah. Zakaah inakuwa katika nafaka na mazalisho.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
- Imechapishwa: 05/12/2016
Swali: Mimi nina bustani linalotoa matunda kila mwaka. Je, nitoe zakaah juu ya matunda yanatoka katika bustani hili?
Jibu: Matunda hayana zakaah. Zakaah itatolewa juu ya kile kima/thamani yake. Ukiyauza na pesa zikatimiza mwaka mmoja (النصاب), hapo ndipo utatakiwa kulipa zakaah. Ama kuhusu matunda yenyewe hayana zakaah. Zakaah inakuwa katika nafaka na mazalisho.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
Imechapishwa: 05/12/2016
https://firqatunnajia.com/zakaah-ya-matunda/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket