Swali: Kuna kima fulani cha pesa kimeingizwa katika biashara ambapo kukapatikana faida. Je, zakaah itatolewa juu ya ile rasilimali au ile faida?
Jibu: Faida. Faida ni yenye kufuatia rasilimali. Shughuli za faida zinafuatia ile asili ya rasilimali. Kwa ajili hiyo unatakiwa kutolea zakaah ile faida pamoja na rasilimali.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
- Imechapishwa: 18/02/2022
Swali: Kuna kima fulani cha pesa kimeingizwa katika biashara ambapo kukapatikana faida. Je, zakaah itatolewa juu ya ile rasilimali au ile faida?
Jibu: Faida. Faida ni yenye kufuatia rasilimali. Shughuli za faida zinafuatia ile asili ya rasilimali. Kwa ajili hiyo unatakiwa kutolea zakaah ile faida pamoja na rasilimali.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
Imechapishwa: 18/02/2022
https://firqatunnajia.com/zakaah-ya-biashara-yenye-faida/