333 – Nilimuuliza kuhusu mtu mwenye nguvu ambaye hakupata riziki isipokuwa kazi ya udhalilifu. Je, anapewa kutoka katika zakaah?
Jibu: Ndio, kwani kama angelichinjwa asingefanya kazi ya kusafisha taka, basi apewe kutoka katika zakaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 117
- Imechapishwa: 31/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
Related
Kujiazima kutoka katika zakaah
Swali: Nafanya kazi ya kukusanya swadaqah na zakaah kutoka kwa watenda wema. Baadhi ya nyakati huhitaji kukunua kitu kutoka katika pesa hizi. Je, inafaa kwangu kujiazima nazo kisha baadaye nizirejeshe? Jibu: Hapana, haijuzu kwako kufanya hivo. Hii ni amana mikononi mwako. Usichukue chochote kutoka katika amana.
In "Zakaah"
Zakaah mke kumpa mume
Swali: Inajuzu kwangu kupokea zakaah ya dhahabu kutoka kwa mke wangu pamoja na kuzingatia kwamba yeye ni mwalimu na mimi mpaka hivi sasa sifanyi kazi? Jibu: Inajuzu kwa mwanamke kumpa zakaah yake mume wake ikiwa ni miongoni mwa wale watu wanaostahiki kupokea zakaah. Ni mamoja zakaah hiyo ni ya dhahabu…
In "Watu wanaostahiki kupewa zakaah"
Zakaah nje ya nchi
Swali: Je, inajuzu kutoa zakaah kutoka Saudi Arabia kwenda Sudan? Kwani mimi hii leo nafanya kazi Saudi Arabia na hutuma zakaah yangu kwenda huko. Jibu: Ndio, inafaa kutoa zakaah kutoka Saudi Arabia kwenda Sudan au nchi nyenginezo za waislamu au kwa muislamu yeyote mwenye kuistahiki mahali popote ulimwenguni. Kwa sababu…
In "Vidhibiti vya zakaah"