333 – Nilimuuliza kuhusu mtu mwenye nguvu ambaye hakupata riziki isipokuwa kazi ya udhalilifu. Je, anapewa kutoka katika zakaah?
Jibu: Ndio, kwani kama angelichinjwa asingefanya kazi ya kusafisha taka, basi apewe kutoka katika zakaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 117
- Imechapishwa: 31/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
333 – Nilimuuliza kuhusu mtu mwenye nguvu ambaye hakupata riziki isipokuwa kazi ya udhalilifu. Je, anapewa kutoka katika zakaah?
Jibu: Ndio, kwani kama angelichinjwa asingefanya kazi ya kusafisha taka, basi apewe kutoka katika zakaah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 117
Imechapishwa: 31/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/zakaah-kwa-mwajiriwa-anayefanya-kazi-dhalilifu/