Swali 334: Mtu anamdai mtu mwingine pesa na huyo anayedaiwa ni fakiri, basi yule mwenye kudai akampa zakaah mdaiwai ambapo akamlipa deni lake na akamrudishia yule mwenye kudai?
Jibu: Inafaa muda wa kuwa hawajakubaliana juu ya hilo kwa makusudi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 118
- Imechapishwa: 31/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 334: Mtu anamdai mtu mwingine pesa na huyo anayedaiwa ni fakiri, basi yule mwenye kudai akampa zakaah mdaiwai ambapo akamlipa deni lake na akamrudishia yule mwenye kudai?
Jibu: Inafaa muda wa kuwa hawajakubaliana juu ya hilo kwa makusudi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 118
Imechapishwa: 31/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/mdai-amempa-zakaah-mdaiwa-ambapo-akamlipa-pesa-yake/