Ametoa zakaah mapema kisha mali yake ikaongezeka

Swali 335: Vipi kuhusu mtu ambaye ameharakisha kutoa zakaah ya miaka miwili kisha mali yake ikaongezeka?

Jibu: Atatoa zakaah ya hiyo nyongeza.

Swali 336: Vipi ikiwa imepungua?

Jibu: Ni kheri kwake na nyongeza pia.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 118
  • Imechapishwa: 31/05/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´