577- Nilimsikia Ahmad akiulizwa kuhusu mtu ambaye anatoa zakaah yake kuwapa jamaa ndugu zake. Akajibu:
“Ikiwa watu wengine ndio wenye kuhitajia zaidi na anachotaka yeye ni kuwatajirisha jamaa ndugu zake na kuwaacha wengine, basi asifanye hivo.”
Aliulizwa vipi ikiwa jamaa ndugu hao ni mafukara kama wengine. Akajibu:
“Kama mambo ni hivo basi wao wana haki zaidi ya kupewa zakaah.”
- Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 119
- Imechapishwa: 26/02/2021
577- Nilimsikia Ahmad akiulizwa kuhusu mtu ambaye anatoa zakaah yake kuwapa jamaa ndugu zake. Akajibu:
“Ikiwa watu wengine ndio wenye kuhitajia zaidi na anachotaka yeye ni kuwatajirisha jamaa ndugu zake na kuwaacha wengine, basi asifanye hivo.”
Aliulizwa vipi ikiwa jamaa ndugu hao ni mafukara kama wengine. Akajibu:
“Kama mambo ni hivo basi wao wana haki zaidi ya kupewa zakaah.”
Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 119
Imechapishwa: 26/02/2021
https://firqatunnajia.com/zakaah-kuwapa-jamaa-ndugu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)