576- Nilimsikia Ahmad akisema:
“Mume asimpe zakaah mke wake.”
Nilimuuliza swali hilo mara nyingi na kila mara hunipa jibu kama hilo.
Aliulizwa kuhusu zakaah kuwapa ndugu kaka na dada ambapo akajibu:
“Hakuna neno ikiwa lengo la kufanya hivo sio kukinga kitu au kuondosha kitu kibaya.”
- Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 119
- Imechapishwa: 27/02/2021
576- Nilimsikia Ahmad akisema:
“Mume asimpe zakaah mke wake.”
Nilimuuliza swali hilo mara nyingi na kila mara hunipa jibu kama hilo.
Aliulizwa kuhusu zakaah kuwapa ndugu kaka na dada ambapo akajibu:
“Hakuna neno ikiwa lengo la kufanya hivo sio kukinga kitu au kuondosha kitu kibaya.”
Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 119
Imechapishwa: 27/02/2021
https://firqatunnajia.com/zakaah-kumpa-mke-na-kaka-na-dada/