Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Liharakisheni jeneza. Akiwa mwema, basi ni kheri mnayomtangulizia, na akiwa kinyume na hivo, basi hiyo ni shari mnayoiondoa kutoka kwenye shingo zenu.”[1]
Hadiyth inafahamisha pia kwamba maisha ya ndani ya kaburi yanayo neema na adhabu, jambo ambalo kumepokelewa juu yake lukuki ya Hadiyth kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Mwanzoni mwa maisha yao ni pale tu ambapo mtu atazikwa ndani ya kaburi lake. Ndio maana ikawa ni jambo lililowekwa katika Shari´ah punde tu baada ya mazishi mtu akasimama karibu na kaburi lake, akamwombea du´aa, msamaha na thabati kwa Allaah.
[1] al-Bukhaariy (1315) na Muslim (944).
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Bahjat-ul-Abraar, uk. 97-98
- Imechapishwa: 27/02/2021
Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Liharakisheni jeneza. Akiwa mwema, basi ni kheri mnayomtangulizia, na akiwa kinyume na hivo, basi hiyo ni shari mnayoiondoa kutoka kwenye shingo zenu.”[1]
Hadiyth inafahamisha pia kwamba maisha ya ndani ya kaburi yanayo neema na adhabu, jambo ambalo kumepokelewa juu yake lukuki ya Hadiyth kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Mwanzoni mwa maisha yao ni pale tu ambapo mtu atazikwa ndani ya kaburi lake. Ndio maana ikawa ni jambo lililowekwa katika Shari´ah punde tu baada ya mazishi mtu akasimama karibu na kaburi lake, akamwombea du´aa, msamaha na thabati kwa Allaah.
[1] al-Bukhaariy (1315) na Muslim (944).
Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Bahjat-ul-Abraar, uk. 97-98
Imechapishwa: 27/02/2021
https://firqatunnajia.com/punde-tu-baada-ya-mazishi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)