Swali: Je, inafaa kumpa zakaah mama mkwe au kaka yake?
Jibu: Ndio, wakiwa ni wahitaji. Ambao hawajuzu ni wale wazazi na watoto. Haifai kumpa baba yako na haifai kwa baba yako kukupa zakaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
- Imechapishwa: 25/02/2022
Swali: Je, inafaa kumpa zakaah mama mkwe au kaka yake?
Jibu: Ndio, wakiwa ni wahitaji. Ambao hawajuzu ni wale wazazi na watoto. Haifai kumpa baba yako na haifai kwa baba yako kukupa zakaah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
Imechapishwa: 25/02/2022
https://firqatunnajia.com/zakaah-kumpa-mama-mkwe-na-shemeji/