Swali: Kuna mtu aliswali na akasahau kuwa yuko na ubani mdomoni mwake ambapo akaitema. Ni upi sahihi wa swalah yake?
Jibu: Swalah yake ni sahihi. Haina neno. Swalah yake ni sahihi hata kama atabakiza ubani mdomoni. Lakini asile kitu au kunywa kitu na huku anaswali. Lakini kule kuwa na kitu mdomoni haina neno.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
- Imechapishwa: 25/02/2022
Swali: Kuna mtu aliswali na akasahau kuwa yuko na ubani mdomoni mwake ambapo akaitema. Ni upi sahihi wa swalah yake?
Jibu: Swalah yake ni sahihi. Haina neno. Swalah yake ni sahihi hata kama atabakiza ubani mdomoni. Lakini asile kitu au kunywa kitu na huku anaswali. Lakini kule kuwa na kitu mdomoni haina neno.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
Imechapishwa: 25/02/2022
https://firqatunnajia.com/mswaliji-amesahau-yuko-na-ubani-mdomoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)